Askari sita wakiwemo wanne wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ),wamejeruhiwa vibaya kwa risasi wakati was mapigano,baina yao na watu wanaodhaniwa kuwa ni wahalifu wakati wa msako msalimie wa kutafuta silaha zinazodaiwa kufichwa kwenye mmoja ya eneo la mapango ya Amboni.
Kamishina wa Operesheni na mafunzo wa jeshi la polisi PAUL CHANGONJA,amebainisha hayo Alasiri ya jana,wakati akitoa taarifa kwa wanahabari jijini Tanga kuhusu hali ya matukio ya uhalifu yanayoendelea jijini humo.
Alisema mapambano hayo yaliyotokea muda mfupi tu,wakati wa msako maalumu wa kutafuta silaha zinazodaiwa kufichwa kwenye mmoja ya eneo la mapango ya Amboni,yaliyopo umbali wa kilomita 10 kutoka kijiji la Tanga.
"Baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wasiri wetu ndipo alfajiri ya leo(jana).Askari wetu walienda eneo kitukio kwa lengo la kutafuta hizo silaha na gafla wakavamiwa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana waliokuwa wamejificha"Alisema
Alisema kujeruhiwa kwao kumetokana na mapambano ya kurushiana risasi yaliyodumu kwa dakika 15 alfajiri ya kuamkia jana katika mashimo ya mawe ambayo yapo jirani na mapango ya Amboni.
Kamishina Changonja alisema chanzo cha mapambano hayo ni tukio la Januari 26 mwaka huu wakati Askari wawili walipovamiwa na wangu wasiojulikana na kunyanga'anywa bunduki mbili aina ya SMG,zilizokuwa na risasi 60.
"Upelelezi wetu uliendelea baada baada ya tukio kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kuwasaka na tukafanikiwa kupata wahalifu.Jana asubuhi tuliarifiwa kwamba silaha hizo zimefichwa kwenye mmoja ya mapango ya Amboni name ndiko wakapeleka Askari uko ili kuzitafuta"alisema
"Wakati askari wakiendeleaa kuzitafuta,gafla walivamiwa kwa kupigwa risaso na waliokuwa wamejificha kwenye eneo lingine LA pango hilo,ikalazimika wajibu mapigo"Alisema
Kamishina Kagonja alisema baada ya kuzima mapigano,waliamua kuingia ndani ya mapango hayo na kukuta vifaa mbalimbali vya kutengenezea milipuko,pikipiki moja,baiskeli tatu,silaha mbalimali za jadi zikiwemo mishale pinde ,visu na mapanga lakini hawakufanikiwa kukuta mtu.
Akizingumza kuhusu watu hao kwamba ni kikundi cha wahalifu wa Alshabaab au la,alisema mpaka sasa polisi hajabaini kutokana na ukweli kwamba katika operesheni hiyo hawajafanikiwa kukamata mtu amabaye wanaweza kumfananisha na magaidi hao.
"Msako with unaendelea tunaomba wananchi watoe ushirikiano kwa ukweli ni mapema sana kuthibitsha kwamba hao wahalifu ni wa kikundi cha Al-shabaab kama inavyodaiwa mitaani,kwasababu mpaka sasa hatujatambua sura Zao na kubaini ni watu wa aina gani"Alisema
Alisema askari waliojeruhiwa,wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga ya Bombo na hali ya afya zao zinaendelea vizuri
Popular Posts
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Inabidi ifikie hatua mamlaka husika inabidi ichukue hatua kali za kisheria kwa wale watakaovunja sheria ya mamlaka husika. Kupitia mitandao ...
-
Mfalme wa Bongo Fleva Diamond Platinumz,leo amepost kwenye akaunti yake ya Instagram na kushare na mashabiki wake kuhusu wasanii kumi anaota...
-
Wakazi wa Ilula Mkoani Iringa wamegoma kupokea maiti ya mama aliyekuwa wakati wa mapambano yaliyotokea juzi mkoani humo kati yao na Polisi k...
-
Huyo tajiri ni nadra sana kumuona hadharani. Jana katika uzunduzi wa studio mpya za AzamTV,mfanyabiashara huyo alijitokeza kukutana na Raisi...
-
Sinta kaamua kuvubja ukimya kuhusiana na ubwege wa Nuh Mziwanda ambaye anadaiwa kuchapwa makofi, Ngumi na Mateke na mpenzi wake shilole. ...
-
SHILOLE NA MCHUMBA WAKE NUH MZIWANDA WACHAFUA HALI YA HEWA MTANDAONI BAADA YA KUTUPIA PICHA ZA UCHI.Mwigizaji na mwanamuziki,Zuwena Mohammed"Shilole"ambaye ni mama mwenye watoto wawili wa kike,akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua...
-
Usiku wa kuamkia Leo zilichezwa mechi mbili tofauti kwenye ligi ya mabingwa ulaya,maarufu kama UEFA. PSG alikuwa mwenyeji wa CHELSEA,na SHAK...
-
In siku moja tu tangu msanii Jux kupost picha akiwa location akifanya video mpya ya wimbo wake NIKUITE NANI?, Leo hii amedondosha kichupa...
-
Mlinzi wa timu ya Liverpool, Kolo Toure amethibitisha Kuwait amestaafu kuchezea soka la kimataifa baada ya kuwa na kikosi. Cha timu ya tai...
Popular Posts
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Inabidi ifikie hatua mamlaka husika inabidi ichukue hatua kali za kisheria kwa wale watakaovunja sheria ya mamlaka husika. Kupitia mitandao ...
-
Mfalme wa Bongo Fleva Diamond Platinumz,leo amepost kwenye akaunti yake ya Instagram na kushare na mashabiki wake kuhusu wasanii kumi anaota...
-
Wakazi wa Ilula Mkoani Iringa wamegoma kupokea maiti ya mama aliyekuwa wakati wa mapambano yaliyotokea juzi mkoani humo kati yao na Polisi k...
-
Huyo tajiri ni nadra sana kumuona hadharani. Jana katika uzunduzi wa studio mpya za AzamTV,mfanyabiashara huyo alijitokeza kukutana na Raisi...
-
Sinta kaamua kuvubja ukimya kuhusiana na ubwege wa Nuh Mziwanda ambaye anadaiwa kuchapwa makofi, Ngumi na Mateke na mpenzi wake shilole. ...
-
SHILOLE NA MCHUMBA WAKE NUH MZIWANDA WACHAFUA HALI YA HEWA MTANDAONI BAADA YA KUTUPIA PICHA ZA UCHI.Mwigizaji na mwanamuziki,Zuwena Mohammed"Shilole"ambaye ni mama mwenye watoto wawili wa kike,akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua...
-
Usiku wa kuamkia Leo zilichezwa mechi mbili tofauti kwenye ligi ya mabingwa ulaya,maarufu kama UEFA. PSG alikuwa mwenyeji wa CHELSEA,na SHAK...
-
In siku moja tu tangu msanii Jux kupost picha akiwa location akifanya video mpya ya wimbo wake NIKUITE NANI?, Leo hii amedondosha kichupa...
-
Mlinzi wa timu ya Liverpool, Kolo Toure amethibitisha Kuwait amestaafu kuchezea soka la kimataifa baada ya kuwa na kikosi. Cha timu ya tai...
Popular Posts
- TCRA INABIDI ICHUKUE HATUA KALI ZA KISHERIA KWA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO YA KIJAMII. HEBU MTAMZAME HUYU SHOGA WA MBAGARA KUU ANAVYOJITANGANZA.
- DADA AWAFUNGUKIA WASICHANA WA MJINI WANAOBABAIKIA WENYE PESA NA WASANII NA MWISHO KUTUMIKA KINYUME NA MAUMBILE.
- KENYA OVER TAKES USA/UK IN FAST GROWING ECONOMIES. IS IT UHURU/RUTO OR RAILA/KIBAKI? AND WHAT'S WRONG WITH TANZANIA?
- NI KIBWANGA KINGINE CHA SHILOLE KWA MPENZI WAKE BAADA YA NUH MZIWANDA KUNUSURIKA KUPIGWA CHUPA NA MPENZI WAKE HUYO,AMA KWELI UMASKINI NI KITU KIBAYA
- DEMU KUTOKA KENYA TIARA ANAYEMTAKA KIMAPENZI DIAMOND AINGIZWA MKENGE NA DIAMOND PLATNUMZ
- CHELSEA YANUSA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA,HUKU BAYERN WAKISHIKWA NA SHAKHATAR
- MWALIMU ALIYEKUWA AKIISHI NA KINYESI NDANI AKIMBIZWA MUHIMBILI.
- OMMY DIMPOZ: WEMA SIYO MPENZI WANGU.
- AMBER ROSE: I PREFER GUYS WITH BIG PENIS
- KESI YA UGAIDI;,KIONGOZI WA JUMIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU AFIKISHWA MAHAKAMANI CHINI YA ULINZI MKALI
Popular Posts
-
Habari zenu mabibi na mabwana. Swala la ushoga na usagaji kwenye jamii yetu ya kitanzania si jambo geni tena baada ya wimbi hilo la mapenz...
-
Ali Kiba ametoa single yake mpya leo inayoitwa CHEKECHA CHEKETUA,KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA HAPA.
-
Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia Afr...
-
Wafanyabiashara watatu,na watano wanepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singinda wakikabiliwa na mashitaka ya kumdharirish...
-
Ajali mbaya imetokea Changalawe Mafinga basi la majinja limeaangukiwa na kontena mida ya mchana,inasemekana karibia wote wamefariki waliokuw...
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond ...
-
Baada ya kutamba na kibao cha SISIKII,msanii mwenye sauti ya kipekee anakuletea ngoma mpya aliyoitambulisha leo hii kwa jina la NIKUITE NAN...
-
New photo of Diamond Platnumz with Wema Sepetu wamejipiga wakiwa wamejificha na wakahirusha mtandaoni wakidhani hawatotambulika kirahisi. Z...
-
Kufuatiwa kifo cha ghafla kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na mbunge wa mbinga magharibi mkoani Ruvuma kupitia leseni y...
Popular Posts
-
Habari zenu mabibi na mabwana. Swala la ushoga na usagaji kwenye jamii yetu ya kitanzania si jambo geni tena baada ya wimbi hilo la mapenz...
-
Ali Kiba ametoa single yake mpya leo inayoitwa CHEKECHA CHEKETUA,KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA HAPA.
-
Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia Afr...
-
Wafanyabiashara watatu,na watano wanepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singinda wakikabiliwa na mashitaka ya kumdharirish...
-
Ajali mbaya imetokea Changalawe Mafinga basi la majinja limeaangukiwa na kontena mida ya mchana,inasemekana karibia wote wamefariki waliokuw...
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond ...
-
Baada ya kutamba na kibao cha SISIKII,msanii mwenye sauti ya kipekee anakuletea ngoma mpya aliyoitambulisha leo hii kwa jina la NIKUITE NAN...
-
New photo of Diamond Platnumz with Wema Sepetu wamejipiga wakiwa wamejificha na wakahirusha mtandaoni wakidhani hawatotambulika kirahisi. Z...
-
Kufuatiwa kifo cha ghafla kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na mbunge wa mbinga magharibi mkoani Ruvuma kupitia leseni y...
Search This Blog
Popular Posts
-
Habari zenu mabibi na mabwana. Swala la ushoga na usagaji kwenye jamii yetu ya kitanzania si jambo geni tena baada ya wimbi hilo la mapenz...
-
Ali Kiba ametoa single yake mpya leo inayoitwa CHEKECHA CHEKETUA,KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA HAPA.
-
Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia Afr...
-
Wafanyabiashara watatu,na watano wanepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singinda wakikabiliwa na mashitaka ya kumdharirish...
-
Ajali mbaya imetokea Changalawe Mafinga basi la majinja limeaangukiwa na kontena mida ya mchana,inasemekana karibia wote wamefariki waliokuw...
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond ...
-
Baada ya kutamba na kibao cha SISIKII,msanii mwenye sauti ya kipekee anakuletea ngoma mpya aliyoitambulisha leo hii kwa jina la NIKUITE NAN...
-
New photo of Diamond Platnumz with Wema Sepetu wamejipiga wakiwa wamejificha na wakahirusha mtandaoni wakidhani hawatotambulika kirahisi. Z...
-
Kufuatiwa kifo cha ghafla kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na mbunge wa mbinga magharibi mkoani Ruvuma kupitia leseni y...
Popular Posts
-
Habari zenu mabibi na mabwana. Swala la ushoga na usagaji kwenye jamii yetu ya kitanzania si jambo geni tena baada ya wimbi hilo la mapenz...
-
Ali Kiba ametoa single yake mpya leo inayoitwa CHEKECHA CHEKETUA,KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA HAPA.
-
Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia Afr...
-
Wafanyabiashara watatu,na watano wanepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singinda wakikabiliwa na mashitaka ya kumdharirish...
-
Ajali mbaya imetokea Changalawe Mafinga basi la majinja limeaangukiwa na kontena mida ya mchana,inasemekana karibia wote wamefariki waliokuw...
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond ...
-
Baada ya kutamba na kibao cha SISIKII,msanii mwenye sauti ya kipekee anakuletea ngoma mpya aliyoitambulisha leo hii kwa jina la NIKUITE NAN...
-
New photo of Diamond Platnumz with Wema Sepetu wamejipiga wakiwa wamejificha na wakahirusha mtandaoni wakidhani hawatotambulika kirahisi. Z...
-
Kufuatiwa kifo cha ghafla kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na mbunge wa mbinga magharibi mkoani Ruvuma kupitia leseni y...
Monday, February 16, 2015
ASKARI SITA WAMEJERUHIWA VIBAYA KATIKA MAPIGANO YA UKO TANGA BAINA YA KIKUNDI CHA MAGAIDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment