Askari sita wakiwemo wanne wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ),wamejeruhiwa vibaya kwa risasi wakati was mapigano,baina yao na watu wanaodhaniwa kuwa ni wahalifu wakati wa msako msalimie wa kutafuta silaha zinazodaiwa kufichwa kwenye mmoja ya eneo la mapango ya Amboni.
Kamishina wa Operesheni na mafunzo wa jeshi la polisi PAUL CHANGONJA,amebainisha hayo Alasiri ya jana,wakati akitoa taarifa kwa wanahabari jijini Tanga kuhusu hali ya matukio ya uhalifu yanayoendelea jijini humo.
Alisema mapambano hayo yaliyotokea muda mfupi tu,wakati wa msako maalumu wa kutafuta silaha zinazodaiwa kufichwa kwenye mmoja ya eneo la mapango ya Amboni,yaliyopo umbali wa kilomita 10 kutoka kijiji la Tanga.
"Baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wasiri wetu ndipo alfajiri ya leo(jana).Askari wetu walienda eneo kitukio kwa lengo la kutafuta hizo silaha na gafla wakavamiwa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana waliokuwa wamejificha"Alisema
Alisema kujeruhiwa kwao kumetokana na mapambano ya kurushiana risasi yaliyodumu kwa dakika 15 alfajiri ya kuamkia jana katika mashimo ya mawe ambayo yapo jirani na mapango ya Amboni.
Kamishina Changonja alisema chanzo cha mapambano hayo ni tukio la Januari 26 mwaka huu wakati Askari wawili walipovamiwa na wangu wasiojulikana na kunyanga'anywa bunduki mbili aina ya SMG,zilizokuwa na risasi 60.
"Upelelezi wetu uliendelea baada baada ya tukio kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kuwasaka na tukafanikiwa kupata wahalifu.Jana asubuhi tuliarifiwa kwamba silaha hizo zimefichwa kwenye mmoja ya mapango ya Amboni name ndiko wakapeleka Askari uko ili kuzitafuta"alisema
"Wakati askari wakiendeleaa kuzitafuta,gafla walivamiwa kwa kupigwa risaso na waliokuwa wamejificha kwenye eneo lingine LA pango hilo,ikalazimika wajibu mapigo"Alisema
Kamishina Kagonja alisema baada ya kuzima mapigano,waliamua kuingia ndani ya mapango hayo na kukuta vifaa mbalimbali vya kutengenezea milipuko,pikipiki moja,baiskeli tatu,silaha mbalimali za jadi zikiwemo mishale pinde ,visu na mapanga lakini hawakufanikiwa kukuta mtu.
Akizingumza kuhusu watu hao kwamba ni kikundi cha wahalifu wa Alshabaab au la,alisema mpaka sasa polisi hajabaini kutokana na ukweli kwamba katika operesheni hiyo hawajafanikiwa kukamata mtu amabaye wanaweza kumfananisha na magaidi hao.
"Msako with unaendelea tunaomba wananchi watoe ushirikiano kwa ukweli ni mapema sana kuthibitsha kwamba hao wahalifu ni wa kikundi cha Al-shabaab kama inavyodaiwa mitaani,kwasababu mpaka sasa hatujatambua sura Zao na kubaini ni watu wa aina gani"Alisema
Alisema askari waliojeruhiwa,wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga ya Bombo na hali ya afya zao zinaendelea vizuri
Popular Posts
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Kwa RB nambs KTN/RB/11213/2024-UTAPELI,inamsaka msanii wa muziki na na sinema za kibongo Hemed Suleman PHD,tangu mwaka jana akidaiwa kutape...
-
Chris Brown's baby girl answers to Royalty! We're learned Nia named the kid Royalty. What we don't know whether the consulted Ch...
-
Msanii Only Dimpoz anatarajia leo hii kuachia video yake ya wimbo unaoitwa WANJERE. Ommy ameshare picha na mashabiki kupitia mtandao wa inst...
-
Karrueche Tran was in the dark blind sided by Chris Brown's baby news just moment before TMZ broke the story. We're told Tran had ab...
-
Mfalme wa Bongo Fleva Diamond Platinumz,leo amepost kwenye akaunti yake ya Instagram na kushare na mashabiki wake kuhusu wasanii kumi anaota...
-
Kobe wadogo 250, wamekamatwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Aman Karume,wakiwa njiani kusafirishwa kwa njia ya magendo kwenda ...
-
Sinta kaamua kuvubja ukimya kuhusiana na ubwege wa Nuh Mziwanda ambaye anadaiwa kuchapwa makofi, Ngumi na Mateke na mpenzi wake shilole. ...
-
Maoni huru kutoka kwa mdau. "Hatujuhi kweli kinachofurukuta ndani ya CHADEMA na hatujuhi kama kosa lilikuwa linavumilika au halivumili...
-
Kenya has been ranked the 3rd fastest growing economy in the world and 1st in Afrika in 2015. Thanks to the able leadership of President Uhu...
Popular Posts
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Kwa RB nambs KTN/RB/11213/2024-UTAPELI,inamsaka msanii wa muziki na na sinema za kibongo Hemed Suleman PHD,tangu mwaka jana akidaiwa kutape...
-
Chris Brown's baby girl answers to Royalty! We're learned Nia named the kid Royalty. What we don't know whether the consulted Ch...
-
Msanii Only Dimpoz anatarajia leo hii kuachia video yake ya wimbo unaoitwa WANJERE. Ommy ameshare picha na mashabiki kupitia mtandao wa inst...
-
Karrueche Tran was in the dark blind sided by Chris Brown's baby news just moment before TMZ broke the story. We're told Tran had ab...
-
Mfalme wa Bongo Fleva Diamond Platinumz,leo amepost kwenye akaunti yake ya Instagram na kushare na mashabiki wake kuhusu wasanii kumi anaota...
-
Kobe wadogo 250, wamekamatwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Aman Karume,wakiwa njiani kusafirishwa kwa njia ya magendo kwenda ...
-
Sinta kaamua kuvubja ukimya kuhusiana na ubwege wa Nuh Mziwanda ambaye anadaiwa kuchapwa makofi, Ngumi na Mateke na mpenzi wake shilole. ...
-
Maoni huru kutoka kwa mdau. "Hatujuhi kweli kinachofurukuta ndani ya CHADEMA na hatujuhi kama kosa lilikuwa linavumilika au halivumili...
-
Kenya has been ranked the 3rd fastest growing economy in the world and 1st in Afrika in 2015. Thanks to the able leadership of President Uhu...
Popular Posts
- AMBER ROSE: I PREFER GUYS WITH BIG PENIS
- SINTAH AMTANDIKA MADONGO NUH MZIWANDA KWA KUTEGEMEA KIUNO ILI KUISHI,INADAIWA HATA AKIZINGUA KUFANYA MAPENZI SHILOLE HUMCHAPA MAKOFI.
- SOMA NAKALA ZA MAGEZETI YA UDAKU,MICHEZO NA SIASA YA LEO TAREHE 10/3/2015.
- NUH MZIWANDA SASA KUTAFUTIWA MCHUMBA MWINGINE NA TEAM YA WADADA WA MJINI,JACQUELINE WOLLPER NAYE YUMO.
- WASANII 10 AMBAO DIAMOND PLATINUMZ ANATAMANI KUFANYA NAO COLLABO.
- DADA AWAFUNGUKIA WASICHANA WA MJINI WANAOBABAIKIA WENYE PESA NA WASANII NA MWISHO KUTUMIKA KINYUME NA MAUMBILE.
- CHRIS BROWN : MY BABY IS ROYALTY.
- RIGHT OR WRONG: THE TRUTH ABOUT KISSING CHILDREN ON THE LIPS.
- BREAKING NEWS: AJALI NYINGINE IMETOKEA BAADA YA TAIRI LA GARI ARUSHA EXPRESS KUPASUKA.
- TANESCO YAKIRI MADUDU KATIKA MFUMO WA LUKU.
Popular Posts
-
Habari zenu mabibi na mabwana. Swala la ushoga na usagaji kwenye jamii yetu ya kitanzania si jambo geni tena baada ya wimbi hilo la mapenz...
-
Ali Kiba ametoa single yake mpya leo inayoitwa CHEKECHA CHEKETUA,KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA HAPA.
-
Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia Afr...
-
Wafanyabiashara watatu,na watano wanepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singinda wakikabiliwa na mashitaka ya kumdharirish...
-
Ajali mbaya imetokea Changalawe Mafinga basi la majinja limeaangukiwa na kontena mida ya mchana,inasemekana karibia wote wamefariki waliokuw...
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond ...
-
Baada ya kutamba na kibao cha SISIKII,msanii mwenye sauti ya kipekee anakuletea ngoma mpya aliyoitambulisha leo hii kwa jina la NIKUITE NAN...
-
New photo of Diamond Platnumz with Wema Sepetu wamejipiga wakiwa wamejificha na wakahirusha mtandaoni wakidhani hawatotambulika kirahisi. Z...
-
Kufuatiwa kifo cha ghafla kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na mbunge wa mbinga magharibi mkoani Ruvuma kupitia leseni y...
Popular Posts
-
Habari zenu mabibi na mabwana. Swala la ushoga na usagaji kwenye jamii yetu ya kitanzania si jambo geni tena baada ya wimbi hilo la mapenz...
-
Ali Kiba ametoa single yake mpya leo inayoitwa CHEKECHA CHEKETUA,KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA HAPA.
-
Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia Afr...
-
Wafanyabiashara watatu,na watano wanepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singinda wakikabiliwa na mashitaka ya kumdharirish...
-
Ajali mbaya imetokea Changalawe Mafinga basi la majinja limeaangukiwa na kontena mida ya mchana,inasemekana karibia wote wamefariki waliokuw...
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond ...
-
Baada ya kutamba na kibao cha SISIKII,msanii mwenye sauti ya kipekee anakuletea ngoma mpya aliyoitambulisha leo hii kwa jina la NIKUITE NAN...
-
New photo of Diamond Platnumz with Wema Sepetu wamejipiga wakiwa wamejificha na wakahirusha mtandaoni wakidhani hawatotambulika kirahisi. Z...
-
Kufuatiwa kifo cha ghafla kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na mbunge wa mbinga magharibi mkoani Ruvuma kupitia leseni y...
Search This Blog
Popular Posts
-
Habari zenu mabibi na mabwana. Swala la ushoga na usagaji kwenye jamii yetu ya kitanzania si jambo geni tena baada ya wimbi hilo la mapenz...
-
Ali Kiba ametoa single yake mpya leo inayoitwa CHEKECHA CHEKETUA,KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA HAPA.
-
Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia Afr...
-
Wafanyabiashara watatu,na watano wanepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singinda wakikabiliwa na mashitaka ya kumdharirish...
-
Ajali mbaya imetokea Changalawe Mafinga basi la majinja limeaangukiwa na kontena mida ya mchana,inasemekana karibia wote wamefariki waliokuw...
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond ...
-
Baada ya kutamba na kibao cha SISIKII,msanii mwenye sauti ya kipekee anakuletea ngoma mpya aliyoitambulisha leo hii kwa jina la NIKUITE NAN...
-
New photo of Diamond Platnumz with Wema Sepetu wamejipiga wakiwa wamejificha na wakahirusha mtandaoni wakidhani hawatotambulika kirahisi. Z...
-
Kufuatiwa kifo cha ghafla kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na mbunge wa mbinga magharibi mkoani Ruvuma kupitia leseni y...
Popular Posts
-
Habari zenu mabibi na mabwana. Swala la ushoga na usagaji kwenye jamii yetu ya kitanzania si jambo geni tena baada ya wimbi hilo la mapenz...
-
Ali Kiba ametoa single yake mpya leo inayoitwa CHEKECHA CHEKETUA,KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA HAPA.
-
Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia Afr...
-
Wafanyabiashara watatu,na watano wanepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singinda wakikabiliwa na mashitaka ya kumdharirish...
-
Ajali mbaya imetokea Changalawe Mafinga basi la majinja limeaangukiwa na kontena mida ya mchana,inasemekana karibia wote wamefariki waliokuw...
-
I've video says men with tiny erecting organs are not good enough for to manage She disclosed her opinion during an interview with powe...
-
Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond ...
-
Baada ya kutamba na kibao cha SISIKII,msanii mwenye sauti ya kipekee anakuletea ngoma mpya aliyoitambulisha leo hii kwa jina la NIKUITE NAN...
-
New photo of Diamond Platnumz with Wema Sepetu wamejipiga wakiwa wamejificha na wakahirusha mtandaoni wakidhani hawatotambulika kirahisi. Z...
-
Kufuatiwa kifo cha ghafla kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na mbunge wa mbinga magharibi mkoani Ruvuma kupitia leseni y...
Monday, February 16, 2015
ASKARI SITA WAMEJERUHIWA VIBAYA KATIKA MAPIGANO YA UKO TANGA BAINA YA KIKUNDI CHA MAGAIDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment