Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Friday, February 27, 2015

DIAMOND NA AY WAMEKAMATA #1 KWENYE TOP 10 ZA MUZIKI WA AFRIKA ZA TRACE INTERNATIONAL NA SOUNDCITY..

Muziki wa Tanzania upo mahali pazuri kwa sasa. AY,Diamond Platnumz na wasanii wengine wanaiwakilisha vyema nchi yetu kimataifa.

Wasanii hao wamekamata nafasi za kwanza wiki kwenye top ten za chart za muziki wa Afrika katika vituo viwili vikubwa vya runinga.

Diamond Platnumz amekamata nafasi ya kwanza kwenye African Top 10 ya Trace International na wimbo wake wa  NTAMPATA WAPI.

Naye AY amekamata nafasi ya kwanza kwenye chart ya Africa Rox countdown ya Soundcity kwa wimbo wa "Touch Me" aliyomshirikisha Sean Kingston na Ms Triniti

Wasanii engine wa Tanzania waliopo kwenye chart hiyo ni pamoja na Navy Kenzo na Shaaa.

No comments:

Post a Comment