Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Thursday, February 19, 2015

CHUI WA PACHA WANGU WAMPA UBALOZI RICH MAVOKO.

Ile video ya PACHA WANGU  ya msanii Rich Mavoko,iliyofanyika South Africa chini ya producer mahiri,mkongwe na mzoefu nchini Adam Juma imempatia dili la kuwa balozi

Rich mavoko alipost picha instagram akiwa anasaini mkataba wa kuwa balozi na shirika la WWF.

WWF ni shirika lisilo la kiserikali linalo jihusisha na utunzaji  wa mazingira.Mavoko alisema

Swali.Ilikuwaje wakanichagua kua balozi wao?
Jibu: "waliangalia video ya pacha wangu na jinsi nilivyomtumia chui,wakapenda na kuvutiwa kufanya kazi na mimi. Walipenda kufanya kazi na kijana  ili niweze kuwashawishi vijana wenzagu  juu ya utunzaji wa mazingira. Rich Mavoko alisema

No comments:

Post a Comment