Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Friday, February 27, 2015

BREAKING NEWS:NDEGE YA JESHI YAANGUKA NA KUWAKA MOTO JIJINI MWANZA ..RUBANI ANUSURIKA

Ndege ya Kijeshi imeanguka Leo uwanja wa ndege wa Mwanza na kuwaka moto wakati inatoma kaskazini mwa uwanja huo kuelekea kusini ambapo rubani wake,Peter Augustino Lyamunda amevunjika mguu.

Chanzo cha ajali hiyo ni ndege (mnyama)  aliyeingia kwenye moja ya injini za ndege hiyo hiyo ilipotaka kuruka,ikashindwa na kuanguka.

No comments:

Post a Comment