Mwanafunzi was darasa la saba,Adam Abdul Sapi Mkwawa ,ametawazwa kuwa chifu mpya ya wahehe,akirithi nafasi ya baba yake,aliyefariki na kuzikwa mkoani iringa.
Raisi Jakaya Kikwete alishiriki maziko ya chifu huyo wa wahehe Abdul Sapi Mkwawa(66) yaliyokwenda sanjuri na haafla ya kumsimika mtoto huyo kushika wadhifa huo wa kimila.
Maziko ya kiongozi huyo aliyefariki February 14 mwaka huu yalifanyika kijiji cha Kalenga nje kidogo name mji wa iringa ndani ya makumbusho yaliyowekwa fuvu la babu yake chifu Mkwavinyika Munyigumba Mwamunyinga Mkwawa
Mbali na Raisi Kikwete wengine waliohudhuriwa maziko hayo ambayo taratibu zake zilitumia takribani SAA 2.30 kuanzia SAA 7 saa 7 mchana ni pamoja na mkuu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi (CCM) kwa upande wa Tanzania Bara Phillip Man gala,wakuu wa mikoa ya Tanga na Mbeya na viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya siasa.
Kabla ya kifo choke kilichosababiswa na maradhi ya figo,Abdul Sapi Mkwawa aliyekuwa mtoto watatu wa spika wa kwanza mweusi nchini Adam Sapi
Kabla ya maziko ya chifu huyo,wazee wakabila la wahehe walimsimika Adam ambaye ni mtoto wake watano kuwa chifu mpya kabila hilo.
Hata hivyo,mtoto huyo anayesoma katika shule ya msingi ya Highlands ya mjini Iringa ,atalazjmika kusubiri kufanya shughuli za kichifu mpka atakapo timizwa umri wa miaka 20.
No comments:
Post a Comment