Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Thursday, March 26, 2015

AFYA YA MAMA YAKE DIAMOND YAZIDI KUWA TETE.

Msanii wa bongo fleva,Diamond  Platnumz  anauguliwa na mama yake mzazi  kwa takrabani ya wiki sasa. Japo msanii huyo amekana taarifa hiyo kwa kusema maswala hayo ni yake binafsi.

Moja ya chanzo kinasema Mama yake Diamond ana wiki sasa yuko hospitali amelazwa na Diamond mwenyewe anaenda kumtembelea kwa kujificha ili watu wasijue.

"Mama yake Diamond,ana wiki sasa  yuko hospitali amelezwa,Diamond mwenyewe anaenda kumuona wakati mwingne anaenda hadi saa 7 usiku,sijui anaficha nini? Ila tumuombee kwa mungu apone" kilisema  chanzo hicho.

Diamond alipotafutwa  alikataa kuliongelea  swala hilo.

"Naomba unipe muda maana nina matatizo sana hata kuzungumzia ishu hiyo nadhani hakuna haja" alisema Diamond.

TUMBO LA ZARI LA THIBITISHA KWELI ANA MIMBA YA DIAMOND,BISHA NA HII.

Zile chokochoko zilisemwa juu ya mimba ya Zari the Lady Boss zimenyamazishwa jana baada ya  picha kuonesha tumbo lake kuonekana kuwa ni kubwa. Haya wale Team Wema waliokuwa wakisema mimba gani mpaka sasa haionekani? Ukitaka jibu tena tazama picha chini.

SIRI YA KUHAMIA NYUMBANI KWAKE DIAMOND PLATNUMZ YAFICHUKA.

Msanii wa  bongo Fleva Diamond Platnumz jumamosi iliyopita aliamia nyumbani kwake Tegeta Madale,baada ya mpenzi wake Zari kuhofia hali ya ushirikina ya Sinza Moli alipokuwa anakaa msanii huyo.

Chanzo kimeiambia Amani,kuwa Zari toka apate ujazito alipenda akae karibu na mpenzi huyo,ila kutokana na kuhofia hali ya ushirikina ya Sinza moli na kuhofia mimba yake kuweza kuchoropoka akashindwa kukaa nae. Awali Diamond alikataa kuhama Sinza kutokana na Tegeta ni mbali sana na misele yake ya siku.

"Ndugu yangu kama unataka kufahamu undani zaid ya huu ninachokueleza muulize Diamond mwenyewe atakwambia,Zari siku zote alikuwa anataka kuwa karibu na Diamond hasa baada ya ujauzito,lakini ndugu zake  walikuwa wakiwakatalia kufanya hivyo hivyo kwa kuhofia mimba yake kuchoropoka kutokana na vijicho vya watu"

Jumamosi iliyopita Diamond alikata shauri na kuhamia kwenye makazi yake mwenyewe binafsi,baada ujenzi wa karibu miaka 3. Kwa mujibu wa mkandarasi mmoja, nyumba hiyo mpaka  kukamilika imegharimu shilingi milioni mia nne (400  millions).

Credit:GPL

FAINI YA BILLION 1 AU KIFUNGO CHA MIAKA 30 JERA KWEL NI ADHABU SAHIHI KWA MTUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA? WAKATI MTUHUMIWA KWA MWAKA ANAPATA ZAIDI YA BILLION 1 KUTOKANA NA BIASHARA HIYO.

BUNGE limpetisha rasmi muswada wa sheria ya udhibiti wa madawa ya kulevya kwa mwaka 2014,huku adhabu ya kifo watakaotwa na tuhuma ya biashara hiyo ikitupiliwa mbali. Na kufanya adhabu ya Faini ya shilling billion moja au kifungo cha miaka 30 jera kama njia ya kudhibiti biashara hiyo haramu.

Baadhi ya wabunge wanaendelea kung'ang'ania adhabu ya kifo iwekwe kwenye  muswada huo.

Akitoa majumuisho ya michango ya wabunge kuhusu hoja ya muswada huo,Waziri wa Nchi,ofisi ya waziri mkuu,Sera,uratibu na bunge Jenista Mhagama alisema adhabu ya kifo haiwezekani kuwekwa kwenye sheria kwa sababu ina makosa mawili.

"Ni kweli Tanzania ni miongoni mwa nchi ambayo bado zinatoa adhabu ya kifo ,lakini kwa mujibu wa Sheria iliyopo,adhabu ya kifo imeingizwa na kubainisha kwenye makosa ya mauaji." Jenista Mhagama.

Je ni kweli adhabu ya faini ya billion 1 au kifungo cha miaka 30 jera  itaweza kudhibiti biashara hiyo nchini? Maana mfanya biashara wa madawa ya kulevya kwa mwaka anaingiza zaidi ya mabilion ya pesa.

ONGEZA NA KUPUNGUZA HIPS,MAKALIO,UUME,MAPAJA,TUMBO NA AFRICAN BEAUTY PRODUCTS.

Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia African Beauty Products.

1.kuongeza hips,makalio na mapaja tsh100,000

2.kunenepesha miguu kuwa ya chupa ya bia tsh70,000

3.kuwa mnene mwili mzima tsh80,000.

4. Kupunguza tumbo na manyama uzembe tsh80,000.

5. Kupunguza na kunenepesha       maziwa tsh60,000

6. Kuwa mweupe na soft mwili mzima tsh 100,000

7. Kuondoa chunusi na Madoha tsh60,000

8. Kuongeza unene na urefu wa uume tsh90000

Tunapatikana nchini kote. Kwa mawasiliano zaidi piga namba hizi hapa chini.

1:- 0716 805091
2:- 0756 697906
3:- 0783 300397.

POMBE YA MUUMBUA SHILOLE; ASHINDWA KUPANDA BOTI BAADA YA KULEWA CHAKALI.

Msanii wa bongo fleva na filamu nchi Shilole, juzi kati baada ya kunywa pombe kupita kiasi alijikuta akishindwa kupanda boti ya kuelekea kwenye bethidei ya msanii mwenzake Linah iliyofanyika Slipway Masaki,jijini Dar es Salaam.

Shilole kabla ya kwenda huko kwenye sherehe hiyo alikuwa klabu ya Paparazi na mpenzi wake Nuh Mziwanda,ambapo alipozinywa pombe kwa kasi na kumfanya kupoteza fahamu.

"Kusema kweli mimi hata sielewi nilishindwaje kupanda boti,network ilikata,nikashangaa kujikuta kwenye bethidei ya Menina Mikocheni,nafikiri kilichotokea muulize baby wangu Nuh" Shilole alisema.

Nuh Mziwanda alikiri na kuelezea kuwa baada ya kushindwa kupanda boti alimrudisha klabu ya Paparazzi ambapo alimpatia maji mengi ya baridi na kupigwa kiyoyozi.