Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Friday, March 13, 2015

BREAKING NEWS: AJALI NYINGINE IMETOKEA BAADA YA TAIRI LA GARI ARUSHA EXPRESS KUPASUKA.

Gari la kampuni ya Arusha Express inayofanya kazi ya masafa ya Arusha na Mbeya imepata ajari dakika chache zilizopita baada mya tairi la gari hilo kupasuka na kusababisha kupinduka. Taarifa za awali zinadai mpaka sasa bado hawajatambua kama kuna mtu aliyefariki kwenye ajari hiyo ila majeruhi ndo mengi.

Ikumbukwe majuzi tu ilitokea ajari mkoani Iringa. Serikali inahitaji ichukue hatua stahiki kwenye Barbara hizi za Iringa na Mbeya,na Sehemu kote ambzo zinakasoro kubwa za miundombinu.

No comments:

Post a Comment