Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Monday, March 16, 2015

MWEZI WA MAJANGA:WATU 13 WAFAMILIA MOJA WAFARIKI KWENYE AJALI YA GARI HUKO SINGINDA LEO HII ASUBUHI.

Mwezi huu umeingia kwa namna yake baada ya mfululizo wa ajali kila kukicha. Leo hii mkoani Singinda  imetokea ajali ya gari aina ya NOAH T.730 BUK,kugongana na Lori aina ya Scania.

Watu 13 wamefariki dunia kwenye ajari hiyo mbaya wakiwemo wanafamilia wa gari hilo. Miili 10 ya marehemu ishatambuliwa na ndugu zao na kupelekwa hospitali kwa hifadhu.

Kamanda wa polisi wa mkoani Singinda SACP Geofrey Kamwela ,amethibisha kutokea kwa ajaru hiyo Leo hii Saa 1.32 asubuhi. Ajali hiyo imetokea kwenye kijiji cha Isuna,iliyopo wilaya ya IKUNGA,mkoani SINGIDA.

No comments:

Post a Comment