Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Thursday, March 12, 2015

AUNT EZEKIEL AKANUSHA TAARAIFA ZA KUJIFUNGUA,ASEMA VIDEO ILIYOSAMBAA MTANDAONI NI KIPANDE CHA FILAMU YAKE

Aunty Ezekiel amekanusha uvumi wa kuwa amejifungua. Taarifa hizo za kujifungua kwake zilienea sana mitandaoni,haswa mtandao wa kijamii wa Instagram,baada ya msanii huyo kushare video inayomuonesha kambeba mtoto mchanga.

Mwanahabari wetu aliamua kumtembelea Aunt Ezekiel nyumbani kwake na kumkuta bado ni mjamzito. Ndipo Aunt alipoeleza chanzo cha uvumi huo ni baada ya kuweka video fupi akiwa amebeba mtoto.

Anadai video hiyo ni kipande cha filamu yake aliyowahi icheza miaka kadhaa iliyopita.

No comments:

Post a Comment