Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Tuesday, March 3, 2015

KIUNO BILA MFUPA CHA MPONZA RAY C,MWENYEWE AKIRI ALITUPIWA PEPO LA MADAWA YA KULEVYA SABABU YA KIUNO CHAKE.

Kana ulikuwa hujui kwa mini Ray C alijikuta kwenye janga la madawa ya kulevya chuku hii. Mwenyewe amefunguka na kusema kiuno ndio kiliumiza wangu na wenye roho mbaya na kumtupia pepo la madawa ya kulevya kumpoteza  soma hapa alivyofunguka.

"Hakika kademu kaliumiza wengi na hako kauno dah kalikuwa homa ya jiji na ndio maana kakarushiwa pepo la madawa maana kalikuwa kanasumbua sana kimuziki na kimvuto!ndio maana hakuna hata msanii mwenzie aliyempa pole mwee! Tatizo kanyota kake kalinga'ara  sana na ndio maana kakapewa mtihami mgumu ili kaadhirike na pengine kapotee kabisa lakini kana bahati mungu alikapenda sana na sababu  kamepewa nafasi nyingine ya kuishi na kutimiza malengo yake.tatizo wabaya wake wanahasira sana kwanini kamerudi tena? Kwanini kabishi kufa kama paka? Kwanini kamerudi tena kweny muzikiKwanini Raisi alikasaidia? Kwanini nyingi? MWEEE BAHATI YA MWENZIO USILALIE MLANGO WAZI,NDO HIVYO TENA ISHAKUWA!!!! WE KAAA UJIULIZE KWANINI KWANINI WAKATI UNASUBIRI JIBU MWENZIO NIKO MVALI TAYARI,ZE PROBLEM IS ZE NYOTA!!!!!! NDO JIBU LABDA ! KWANINI MY FOOT

Je wewe unadhani kweli kiuno chake ndo sababu ya kutumia madawa ya kulevya kama anavyodai?

No comments:

Post a Comment