Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Thursday, March 5, 2015

BAADA YA SERENGETI BOY KUJINADI KULIFAIDI FAIDI PENZI LAKE,WOLPER ACHUKULIA KAMA CHANGAMOTO.

Baada ya Kijana wa Makamando ,Freddy Felix kujinadi kulifaidi penzi la mwanadada Jacqueline Wolper Massawe ( Wolper) katika mahojiano ya juzi. Supastaa huyo Wolper leo kupitia ukurasa wa Instagram amesema amechukulia kama changamoto.

Serengeti boy huyo juzi alifanya mahojiano na Global TV online na kujinadi ipasavyo kuwa alifaidi vya kutosha penzi la Wolper. Baada habari hizo kutapakaa sana kwenye magazeti na blogs za udaku, Wolper ameamua kuandika haya kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram.

"The past can hurt but the way I see it,you can either run from it or learn from it"

Tafsiri ya maneno yake hayo ni kwamba:- mambo yaliyopita ,yanaweza kukuumiza,lakini kwa jinsi anavyoona yeye,unaweza kuyakimbia au kujifunza kutokana na yaliyopita.

Baada ya kuandika ujumbe huo,mashabiki wake walimpa moyo na kuanza kumponda Serengeti boy huyo.

No comments:

Post a Comment