Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Monday, March 9, 2015

WEMA AGEUKA MBOGO BAADA YA KUTAJIWA JINA LA DIAMOND

Staa wa semina za kibongo asiye kaukiwa na matukio hapa nchini,Wema Sepetu aligeuka mbogo ghaflaa baada ya kupokea ujumbe uliomtaja mpenzi wake was zamani  (Diamond) kutoka kwa shabiki yake.

Kioja hicho alikifanya juzi  nyumbani kwake,Kijitonyama Dar es Salaamvalipokuwa akirekodi kipindi chake chake cha In My Shoes  ndipo aliposhituka baada ya kutumiwa maoni na mmoja wa mashabiki wake kupitia simu ya mkononi.

"Heee huyu vipi tena ananitajia jina hili (Diamond),sitaki kabisa kusikia,hapa nataka kusikia mimi na maisha yangu na si maisha ya mtu mwingine." Alisikika akisema Wema.

No comments:

Post a Comment