Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Sunday, March 8, 2015

PENNY KAPATA MRITH WA DIAMOND, KAMA HAMJUHI HIYO NDIO HABARI YA MJINI

Mtangazaji wa Radio E-Fm Penniel Mungiwa Penny, baada ya kukaa muda mrefu akiwa singo tangu aachane na staa wa Bongo Fleva Nassib Abdul (Diamond Platnumz) anadaiwa kupata mrithi wa msanii huyo aliyetajwa kwa jina moja la Swedi.

Habari kutoka chanzo cha kuaminika kiilichoomba hifafadhi ya jina kimedai kuwa Penny na Swedi wanaishi pamoja maeneo ya Mwananyamala  jijini Dar na wakiwa wakionesha mahaba niligeze mbele za watu mara kadhaa wakitupia picha zao mitandaoni.

"Hivi ninyi mnajua Penny kapata mrithi wa Diamond? Kama hamjui hiyo ndo habari ya mjini "

"Kwa taarifa yenu wanapika na kupakuwa  hakuna asiyejua hilo kama vipi fuatilieni mtapata ukweli." Alidai mtoa habari huyo.

Katika kurijidhisha waandishi wetu walianza kufuatilia kwa kufika  kwenye nyumba anayoishi na kukutwa imefungwa ila baadhi ya majirani walikiri ni kweli kuwa Swedi na Penny wanamahusiao maana wanawaona wanaingia na kutoka pamoja.

No comments:

Post a Comment