Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Wednesday, March 11, 2015

NUH MZIWANDA SASA KUTAFUTIWA MCHUMBA MWINGINE NA TEAM YA WADADA WA MJINI,JACQUELINE WOLLPER NAYE YUMO.

Stori ya U-heard ya leo machi 11 inahusu tetesi zilizoenea kuwa wa dada wa mjini akiwemo muigizaji Jacqueline Wolper,wamemchoka msanii Shilole kwa madai Kuwa amekuwa akimpiga mpenzi wake Nuh Mziwanda mara kwa mara na wanataka kumtafutia mpenzi mwingne ambaye hata mpiga,mpango uliopangwa siku ambayo Shilole alimpiga Nuh na wasanii wakaingilia.

Soud Brown amemtafuta Shilole na kumpa taarifa hizo na kusema sio za kweli,ila watu wanaanzisha ili kuwagombanisha jambo ambalo hawatofanikiwa kwa kuwa anajiamini sana. Nae Nuh alipotafutwa alisema ndio kwanza taarifa hizo anazisikia na aliongeza kuwa mwanaume atafutiwi mwanamke wa kuwa nae.

No comments:

Post a Comment