Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Monday, March 9, 2015

MZEE WA UPAKO:" WAKRISTO WASIOENDA KANISANI JUMAPILI NI MAFALA NA MABWEGE"

Nimemfatilia channel 10  wakati akiongoza Ibada huku akishangiliwq na waumini wake,katika mambo aliyonistajaabisha ni lugha ya matusi

Anasema habari ya mjini sasa ni kusali ,ila anamalizia kwa kuwambia vijana wanaosema kila siku ni yale yale kanisani " ibada haifanani acha ufala"

No comments:

Post a Comment