Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Popular Posts

Search This Blog

Popular Posts

Popular Posts

Thursday, March 26, 2015

AFYA YA MAMA YAKE DIAMOND YAZIDI KUWA TETE.

Msanii wa bongo fleva,Diamond  Platnumz  anauguliwa na mama yake mzazi  kwa takrabani ya wiki sasa. Japo msanii huyo amekana taarifa hiyo kwa kusema maswala hayo ni yake binafsi.

Moja ya chanzo kinasema Mama yake Diamond ana wiki sasa yuko hospitali amelazwa na Diamond mwenyewe anaenda kumtembelea kwa kujificha ili watu wasijue.

"Mama yake Diamond,ana wiki sasa  yuko hospitali amelezwa,Diamond mwenyewe anaenda kumuona wakati mwingne anaenda hadi saa 7 usiku,sijui anaficha nini? Ila tumuombee kwa mungu apone" kilisema  chanzo hicho.

Diamond alipotafutwa  alikataa kuliongelea  swala hilo.

"Naomba unipe muda maana nina matatizo sana hata kuzungumzia ishu hiyo nadhani hakuna haja" alisema Diamond.

TUMBO LA ZARI LA THIBITISHA KWELI ANA MIMBA YA DIAMOND,BISHA NA HII.

Zile chokochoko zilisemwa juu ya mimba ya Zari the Lady Boss zimenyamazishwa jana baada ya  picha kuonesha tumbo lake kuonekana kuwa ni kubwa. Haya wale Team Wema waliokuwa wakisema mimba gani mpaka sasa haionekani? Ukitaka jibu tena tazama picha chini.

SIRI YA KUHAMIA NYUMBANI KWAKE DIAMOND PLATNUMZ YAFICHUKA.

Msanii wa  bongo Fleva Diamond Platnumz jumamosi iliyopita aliamia nyumbani kwake Tegeta Madale,baada ya mpenzi wake Zari kuhofia hali ya ushirikina ya Sinza Moli alipokuwa anakaa msanii huyo.

Chanzo kimeiambia Amani,kuwa Zari toka apate ujazito alipenda akae karibu na mpenzi huyo,ila kutokana na kuhofia hali ya ushirikina ya Sinza moli na kuhofia mimba yake kuweza kuchoropoka akashindwa kukaa nae. Awali Diamond alikataa kuhama Sinza kutokana na Tegeta ni mbali sana na misele yake ya siku.

"Ndugu yangu kama unataka kufahamu undani zaid ya huu ninachokueleza muulize Diamond mwenyewe atakwambia,Zari siku zote alikuwa anataka kuwa karibu na Diamond hasa baada ya ujauzito,lakini ndugu zake  walikuwa wakiwakatalia kufanya hivyo hivyo kwa kuhofia mimba yake kuchoropoka kutokana na vijicho vya watu"

Jumamosi iliyopita Diamond alikata shauri na kuhamia kwenye makazi yake mwenyewe binafsi,baada ujenzi wa karibu miaka 3. Kwa mujibu wa mkandarasi mmoja, nyumba hiyo mpaka  kukamilika imegharimu shilingi milioni mia nne (400  millions).

Credit:GPL

FAINI YA BILLION 1 AU KIFUNGO CHA MIAKA 30 JERA KWEL NI ADHABU SAHIHI KWA MTUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA? WAKATI MTUHUMIWA KWA MWAKA ANAPATA ZAIDI YA BILLION 1 KUTOKANA NA BIASHARA HIYO.

BUNGE limpetisha rasmi muswada wa sheria ya udhibiti wa madawa ya kulevya kwa mwaka 2014,huku adhabu ya kifo watakaotwa na tuhuma ya biashara hiyo ikitupiliwa mbali. Na kufanya adhabu ya Faini ya shilling billion moja au kifungo cha miaka 30 jera kama njia ya kudhibiti biashara hiyo haramu.

Baadhi ya wabunge wanaendelea kung'ang'ania adhabu ya kifo iwekwe kwenye  muswada huo.

Akitoa majumuisho ya michango ya wabunge kuhusu hoja ya muswada huo,Waziri wa Nchi,ofisi ya waziri mkuu,Sera,uratibu na bunge Jenista Mhagama alisema adhabu ya kifo haiwezekani kuwekwa kwenye sheria kwa sababu ina makosa mawili.

"Ni kweli Tanzania ni miongoni mwa nchi ambayo bado zinatoa adhabu ya kifo ,lakini kwa mujibu wa Sheria iliyopo,adhabu ya kifo imeingizwa na kubainisha kwenye makosa ya mauaji." Jenista Mhagama.

Je ni kweli adhabu ya faini ya billion 1 au kifungo cha miaka 30 jera  itaweza kudhibiti biashara hiyo nchini? Maana mfanya biashara wa madawa ya kulevya kwa mwaka anaingiza zaidi ya mabilion ya pesa.

ONGEZA NA KUPUNGUZA HIPS,MAKALIO,UUME,MAPAJA,TUMBO NA AFRICAN BEAUTY PRODUCTS.

Je unataka kuwa mrembo na muonekano wa kupendeza kwa kuongeza hips,makalio,mapaja,kurefusha nywele ,kupunguza unene na tumbo kwa kutumia African Beauty Products.

1.kuongeza hips,makalio na mapaja tsh100,000

2.kunenepesha miguu kuwa ya chupa ya bia tsh70,000

3.kuwa mnene mwili mzima tsh80,000.

4. Kupunguza tumbo na manyama uzembe tsh80,000.

5. Kupunguza na kunenepesha       maziwa tsh60,000

6. Kuwa mweupe na soft mwili mzima tsh 100,000

7. Kuondoa chunusi na Madoha tsh60,000

8. Kuongeza unene na urefu wa uume tsh90000

Tunapatikana nchini kote. Kwa mawasiliano zaidi piga namba hizi hapa chini.

1:- 0716 805091
2:- 0756 697906
3:- 0783 300397.

POMBE YA MUUMBUA SHILOLE; ASHINDWA KUPANDA BOTI BAADA YA KULEWA CHAKALI.

Msanii wa bongo fleva na filamu nchi Shilole, juzi kati baada ya kunywa pombe kupita kiasi alijikuta akishindwa kupanda boti ya kuelekea kwenye bethidei ya msanii mwenzake Linah iliyofanyika Slipway Masaki,jijini Dar es Salaam.

Shilole kabla ya kwenda huko kwenye sherehe hiyo alikuwa klabu ya Paparazi na mpenzi wake Nuh Mziwanda,ambapo alipozinywa pombe kwa kasi na kumfanya kupoteza fahamu.

"Kusema kweli mimi hata sielewi nilishindwaje kupanda boti,network ilikata,nikashangaa kujikuta kwenye bethidei ya Menina Mikocheni,nafikiri kilichotokea muulize baby wangu Nuh" Shilole alisema.

Nuh Mziwanda alikiri na kuelezea kuwa baada ya kushindwa kupanda boti alimrudisha klabu ya Paparazzi ambapo alimpatia maji mengi ya baridi na kupigwa kiyoyozi.

Wednesday, March 25, 2015

HABARI ZILIZOPO KWENYE MAGAZETI YA LEO ALHAMISI 26/3/2015.

Habari zilizopo kwenye magazeti ya Leo tarehe 26/3/2015

MANCHESTER UNITED IMEONESHA JEZI MPYA YA UGENINI KWA MSIMU WA 2015/2016 NA PIA WAMEZINDUA APPLICATION YA KUCHATI KWA AJILI YA MASHABIKI WAO

Timu ya Manchester United imeonyesha jezi mpya itakayotumika msimu ujao wa 2015/2016. Jezi hiyo itatumika ugenini tu na ikiwa imetengenezwa na addidas baada ya kampuni hiyo ya kutengenza vifaa vya michezo kuingia mkataba mnono na klabu hiyo.

Jezi hiyo inayofanana kwa kiasi kikubwa na jezi ya Real Madrid japo utafouti wake ni mistari ya michirizi ambayo kwa mashetani imewekwa mistar mekundu.

Baada ya kuifunga Liverpool weekend iliyopita,Man UTD wamezindua application ya INPLAY itakayowezesha mashabiki wake ulimwenguni kote kuweza kuwasiliana na kujadiliana kuhusu klabu hiyo.

Application hiyo inapatikana katika Google play store kwa simu za Android, na iPhone pia. Km wewe shabiki wa Manchester united download hiyo application ambayo inaitwa INPLAY.

Monday, March 16, 2015

TCRA INABIDI ICHUKUE HATUA KALI ZA KISHERIA KWA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO YA KIJAMII. HEBU MTAMZAME HUYU SHOGA WA MBAGARA KUU ANAVYOJITANGANZA.

Inabidi ifikie hatua mamlaka husika inabidi ichukue hatua kali za kisheria kwa wale watakaovunja sheria ya mamlaka husika. Kupitia mitandao miwili ya kijamii ya Whatsapp na Instagram kuna shoga anajitangaza wazi kibiashara,kama vile Ushoga na kujiuza umehalalishwa.

Shoga huyo wa Mbagara anajitangaza kwa yeyote anaemhitaji amtafute kwa namba zake.

Tunatoa namba hizi ili Mamlaka husika mchukue hatua kali kwa huyu kijana na kundi lake. 0754559095 na 0719840583.

Samahani kwa hii picha kwani ndiyo aliyojipiga na kuweka kama  picha ya kitambulisho whatsapp.

MWEZI WA MAJANGA:WATU 13 WAFAMILIA MOJA WAFARIKI KWENYE AJALI YA GARI HUKO SINGINDA LEO HII ASUBUHI.

Mwezi huu umeingia kwa namna yake baada ya mfululizo wa ajali kila kukicha. Leo hii mkoani Singinda  imetokea ajali ya gari aina ya NOAH T.730 BUK,kugongana na Lori aina ya Scania.

Watu 13 wamefariki dunia kwenye ajari hiyo mbaya wakiwemo wanafamilia wa gari hilo. Miili 10 ya marehemu ishatambuliwa na ndugu zao na kupelekwa hospitali kwa hifadhu.

Kamanda wa polisi wa mkoani Singinda SACP Geofrey Kamwela ,amethibisha kutokea kwa ajaru hiyo Leo hii Saa 1.32 asubuhi. Ajali hiyo imetokea kwenye kijiji cha Isuna,iliyopo wilaya ya IKUNGA,mkoani SINGIDA.

BREAK NEWS: HOSTELI YA MABIBO (BLOK B) ZA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM YAUNGUA NA MOTO. CHANZO CHA MOTO HUO NI PASI YA UMEME.

Mwaka huu umeanza kwa chuo kikuu cha Dar es Salaam kwani wiki iliyopita walifiwa na wanafunzi watano katika ajari ya gari mkoani Iringa.

Hii leo asubuhi mida ya saa 4:12 moto ulianza onekana ukiwakaka katika hosteli za chuo hiko zilizopo mabibo. Hostel iliyokumbwa na janga hilo ni BLOCK B,wanayolala wanawake.

Chanzo chetu cha habari kimeambiwa na mmoja wa mwanafunzi anayeishi hosteli hiyo kuwa chanzo cha moto huo ni pasi ya umeme.

"Kuna mwanafunzi alikuja kupiga pasi,alipomaaliza akaacha hivyo hivyo,na member tulikuwa tunaoga na wengine walikuwa hawapo,Mara tukasiskia shoti ya umeme ghafla," kilisema chanzo hicho.

Taarifa kamili tutawapatia.

Saturday, March 14, 2015

TAZAMA VIDEO YA NIKUUITE NANI YA MSANII JUX


In siku moja tu tangu msanii Jux kupost picha akiwa location akifanya video mpya ya wimbo wake NIKUITE NANI?, Leo hii amedondosha kichupa chenyewe,aiseeh! Ni sheedah. Pongezi zimuende Hanscana na Vanessa Mdee kwa kazi nzuri waliyofanya.


Itazamae video hiyo hapo juu.

Friday, March 13, 2015

BREAKING NEWS: AJALI NYINGINE IMETOKEA BAADA YA TAIRI LA GARI ARUSHA EXPRESS KUPASUKA.

Gari la kampuni ya Arusha Express inayofanya kazi ya masafa ya Arusha na Mbeya imepata ajari dakika chache zilizopita baada mya tairi la gari hilo kupasuka na kusababisha kupinduka. Taarifa za awali zinadai mpaka sasa bado hawajatambua kama kuna mtu aliyefariki kwenye ajari hiyo ila majeruhi ndo mengi.

Ikumbukwe majuzi tu ilitokea ajari mkoani Iringa. Serikali inahitaji ichukue hatua stahiki kwenye Barbara hizi za Iringa na Mbeya,na Sehemu kote ambzo zinakasoro kubwa za miundombinu.

Thursday, March 12, 2015

MAHABA NITULIZE! NUH MZIWANDA: KUPIGWA NI ISHARA YA WIVU NA MAPENZI YA DHATI,SIMUACHI NG'O KWANI NAMI NAMPIGAGA.

Msanii wa Bongo Fleva Nuh Mziwanda ambae ni mpenzi wa msanii Shilole amefunguka kwa kusema kuwa hakuna mwanadamu wa kuweza kuwatenganisha katika mapenzi yao licha ya maneno ya watu kuzungumza vibaya juu ya kupigwa kwake.

Asema mungu ndo anaweza kuwatenganisha kama kipigo ameshakizoea,na hakuna mapenzi ya dhati bila kupigwa,ukiona upigwi basi mpenzi wako hana wivu

"Mungu ndo ataetenganisha hii couple,binadamu neeeeever. Sawa ananibonda kila siku ila tumependana wenyewe na kupigwa kuna raha yake jamani. Ukiona upigwi sawa ujue hakuna wivu hapo na mimi najua wapi napompiga."

"Maana naona mmezidi sasa kila saa kipigo kipigo. Nisharidhili mimi bwege fala mjinga semeni yotee. Ila nishampenda simuachi ng'ooo!. Bora nyie mfanye yenu tu. Nawapenda saaana wanaofatilia mziki wangu." Alisema Nuh

WEMA SEPETU NA OMMY DIMPOZ TIME,BAADA YA WAWILI HAO KUPIGANA NDIMI KWENYE WIMBO MPYA YA DIMPOZ,NI UZUNGU AU MAPENZI?

Msanii Only Dimpoz anatarajia leo hii kuachia video yake ya wimbo unaoitwa WANJERE. Ommy ameshare picha na mashabiki kupitia mtandao wa instagram kwa kuonesha baadhi ya picha za video hiyo.

Hivi karibuni walisemekana wawili hao wanatoka kimapenzi,lakini ommy alikanusha taarifa hizo. Je na hii video walivyobadilisha ndimi ni uzungu au ndo mapenzi?

AUNT EZEKIEL AKANUSHA TAARAIFA ZA KUJIFUNGUA,ASEMA VIDEO ILIYOSAMBAA MTANDAONI NI KIPANDE CHA FILAMU YAKE

Aunty Ezekiel amekanusha uvumi wa kuwa amejifungua. Taarifa hizo za kujifungua kwake zilienea sana mitandaoni,haswa mtandao wa kijamii wa Instagram,baada ya msanii huyo kushare video inayomuonesha kambeba mtoto mchanga.

Mwanahabari wetu aliamua kumtembelea Aunt Ezekiel nyumbani kwake na kumkuta bado ni mjamzito. Ndipo Aunt alipoeleza chanzo cha uvumi huo ni baada ya kuweka video fupi akiwa amebeba mtoto.

Anadai video hiyo ni kipande cha filamu yake aliyowahi icheza miaka kadhaa iliyopita.

COLLABO MPYA YA DIAMOND NA LINEX,DOWNLOAD NYIMBO HAPA;SALIMA BY LINEX FT DIAMOND

Watoto kimanyema wamefanya yao tena kwa kutoa kolabo ya nguvu inayosindikizwa kwa jina la SALIMA. Linex Sunday mjeda amemshirikisha Diamond Platnumz kwenye nyimbo hiyo matata. Pale mkali wa sauti hapa mtaaramu wa vionjoo na udambu udambu.

Download kwa kubonyeza link hiyo hapo chini.

Then fanya kama una follow hivi instagram kwa jina la @florakipacha75.






http://www.audiomack.com/song/babel-wa-kitaa/salima